Recent content by TangaNyika_TZ

  1. TangaNyika_TZ

    Swali la kizushi : Wagombea kubaki ndani ya vituo vya kupiga kura???

    Wadau, Kwa heshima na taadhima naomba maoni yenu kwenye hili pia. Je wagombea wa vyama wanaruhusiwa kubaki ndani ya vituo vya kupigia kura baada ya kupiga kura zao? Na je wanaruhusiwa kuwepo kwenye kuhakiki kura kama mawakala na wasimamizi?? Nawasilisha.
  2. TangaNyika_TZ

    Mbowe: Dr. Slaa alidai Ukatibu Mkuu unamtosha

    Nilishawahi kuisoma hii link ya gazeti la sauti huru ni hoja nzuri na ina uhalisia. Kwani si kila mtanzania mwenye uwezo ana haki ya kugombea urais kwa kupitia chama chochote kitakachomkubali kwa kuzingatia zile kanuni za chama husika ??
  3. TangaNyika_TZ

    Mbowe: Dr. Slaa alidai Ukatibu Mkuu unamtosha

    Alianza mshumbushi kuukataa ukatibu mkuu wakati mwenyewe Slaa aliuridhia kwa kumkaribisha lowassa
  4. TangaNyika_TZ

    Mbowe: Dr. Slaa alidai Ukatibu Mkuu unamtosha

    Bei gani?? Au ndio kupagawa??? TCRA kamata huyu gambaz
  5. TangaNyika_TZ

    Maige akimbiwa mkutanoni Kakola, polisi wamnusuru

    Stupid. Na wewe uko zamu ya mchana?? #HapaGizaTu
  6. TangaNyika_TZ

    Kwanini viongozi wote wanaotoka CCM hawajiungi na CHADEMA moja kwa moja?

    Ndio maana nikasema wewe ni stupid kama shoga yako bure..ule..mbo nadhani sasa umeniamini. Ukitoa mada stick kwenye mada usichanganye hoja tofauti na mada. By W. J. Malecela - Wajiunge na chama kimoja kama vipo 4 haijawahi kutokea Duniani, unataka wananchi wampigie kura mtu hana chama...
  7. TangaNyika_TZ

    Kwanini viongozi wote wanaotoka CCM hawajiungi na CHADEMA moja kwa moja?

    Stupid kabisa wewe Usihamishe hoja yetu, ulisema haujaona duniani mgombea binafsi asiye na Chama, hiyo ndio hoja yetu mimi na wewe sasa nijibu kwanini fisiem hamtaki mgombea binafsi???? HOja yangu mimi na wewe, usi mix hoja. Nijibu.
  8. TangaNyika_TZ

    Kwanini viongozi wote wanaotoka CCM hawajiungi na CHADEMA moja kwa moja?

    Kweli wewe stupid Kama kubwa jinga mwenzio bure..ule..mbo Ulisema hsujaona duniani na sio Tanzania yenye katiba ya JMT ya CCM inasema hivyo na katiba mpya ambayo nyie mafisi-m hamuitaki ili muendelee kuvikandamiza vyama vya upinzani soma maelezo haya kidogo Ibara ya 216.-(1) katika rasimu...
  9. TangaNyika_TZ

    Kwanini viongozi wote wanaotoka CCM hawajiungi na CHADEMA moja kwa moja?

    Unasema haujaona duniani?? ?? Wagombea binafsi wana vyama???? Stupidity
Back
Top Bottom