Nini kimekufanya ujitambulishe kuwa huna hata chembe ya hekima na busara kumtukana Babu yako. Njo na hoja tulivu inayojieleza yenyewe bila kuegemea kwenye matusi ya aina hiyo.
Mwenye hekima na busara huwa mtulivu na hujieleza kwa ufasaha kwa maneno machache.
Wakati mwingine uk
Mara nyingi usipende kumsikiliza mwenye akili ndogo kwani anaweza kuhisi unamwona wa maana. Just Ignore and move ahead with your business.
Nimekusoma. Nimekuelewa, lakini mosi usimhusishe Mungu katika fikra za kibnadamu, pili ukome kutuita mazoba (pamoja na wewe).
Kwa fikra zangu (kwa sababu naamini katika uhuru wa kutoa maoni yako), kosa kubwa kwetu nchi za Afrika, ikiwemo Tanzania, ni kukubali kuitwa maskini wakati sisi...
Wewe ndani ya kichwa chako na moyoni mwako kumefurika uozo unaonuka afadhali ya dampo. Hawa watu waliteswa sana lakini bado hawakukata tamaa na hata hawazumgumzii machungu yaliyopita, wanasonga mbele. CHADEMA asanteni kwa kutoa funzo la aina yake. Mmesamehe yote na mnasonga mbele na kukubali...
Natamani kuiona CHADEMA ikiwa na timu nzima ya kazi wakiwemo Halima Mdee na wenzake wote. Jamani , Halima na wenzako kuweni wajasiri yaishe. Jipangeni, fungeni safari kwa Baraza la udhamini la CHADEMA, Kamati Kuu ya CHADEMA na Wananchi wa Tanzania, mkaseme Tumekosa, Tumekosa, Tumekosa sana...
Kwanza, na declare interest, mimi ni kijana wa miaka 32. Lakini, hizi fikra za Serikali ya vijana au wazee nayo fikra dhaifu, potofu, baguzi, kaburu na kandamizi. Tuangalie uwezo wa kuchangia maendeleo kwa wote Tanzania. Mwl. Nyerere alikuwa na mchango mzuri sana kwa Tanzania na hata kwa dunia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.