cha ajabu ni kwamba sisi haturuhusiwa kushiriki kwao.
Watanganyika tukinunua ardhi kwao tunakuwa kama tumenunua nchi jirani.
Lakini wao kununua Tanganyika ruksa.
ASIYE ZIBA UFA ATAJENGA UKUTA.
TANGANYIKA HURU
Nikweli kabisa kwamba "hata kama hataki, muungano upo"
Tunachotaka sisi ni kuwa na Zanzibar iliyopo, na Kuilejesha Tanganyika iliyotafunwa kwa maslahi Ya Zanzibar.
ALAFU KUWE NA MUUNGANO WENYE TIJA KWA PANDE ZOTE NA SI KUITAFUNA NCHI FULANI.
TANGANYIKA HURU
Ni bora wanaochangiwa mapato kwaajili ya kukombolewa kifikra,kisiasa,n.k.
Kuliko wanaopora vyanzo vya mapato na kutukandamiza kifikra,kiuchumi,kisiasa,n.k
Wakoloni walipora rasilimali zetu na kuwasomesha baadhi ya waTZ kama vile watoto wa Machief waliokuwa upande wao, kama leo hii Wakoloni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.