Mi natumia iko poa sana ila malipo unafanya kwa mawakala wao wapo sehemu nyingi mfano mi nalipia kwa wakala yuko dar ila mi nioo tanga na sh 42000 coz wanalipia 40000 natumai nimekusaidia
Kuna jamaa alikuwa akisisitizwa sana kuoa [emoji132] baba yake alimtafutia wake zaidi ya wa nne yeye anasema amamchumba wake tena kwa msisitizo
Masiku yakaenda kuna siku baba anakwenda chooni anamsikia mwanae akilalamika ohoooo baba ananotafutia wachumba kila siku mi siwataki nataka nikuoe wewe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.