Recent content by tanga raha

  1. tanga raha

    Wakuu mwenye uzoefu na decoder ya canal +, nahitaji kununua

    Mi natumia iko poa sana ila malipo unafanya kwa mawakala wao wapo sehemu nyingi mfano mi nalipia kwa wakala yuko dar ila mi nioo tanga na sh 42000 coz wanalipia 40000 natumai nimekusaidia
  2. tanga raha

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Elber,,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Sent using Jamii Forums mobile app
  3. tanga raha

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Pyramids Sent using Jamii Forums mobile app
  4. tanga raha

    Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

    Kuna jamaa alikuwa akisisitizwa sana kuoa [emoji132] baba yake alimtafutia wake zaidi ya wa nne yeye anasema amamchumba wake tena kwa msisitizo Masiku yakaenda kuna siku baba anakwenda chooni anamsikia mwanae akilalamika ohoooo baba ananotafutia wachumba kila siku mi siwataki nataka nikuoe wewe...
Back
Top Bottom