mbona ciku ya kuapishwa walijaa tena mpaka ikawa hamna pa kukaa na hakuna aliyezomea ukiandika andika vitu vya maana na co kila unalo waza pia ingekuwa hiyo sherehe amefuta lowasa ungesemaje?
shirika la ndege la kenya mwezi uliopita lilitangaza kuwa halina kitu na limefirisika madaktari kugoma kenya wauguzi kugoma kenya ila hamyasemi hayo weka ushahidi mezani ndo tuendelee:twitch:
kwao ndio ni shujaa maana niki kasema now anapokea mil.2 kila mwezi toka tigo kwa ajili ya miito ya simu wakati mwanzo alikuwa hapati so kama akichukua voda zantel na airtel kibaya kwako kizuri kwa mwenzako
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.