Recent content by Tamutamusana

  1. Tamutamusana

    Freezer zinazohitaji matengenezo zauzwa

    Siyo fridge ni freezer
  2. Tamutamusana

    Freezer zinazohitaji matengenezo zauzwa

    Ziko mbili Chanika dsm Zote tshs 150, 000 tu Sijazitumia kwa mda mrefu Zinahitaji marekebisho. Compressor zake ni nzima kabisa Anaehitaji ani PM
  3. Tamutamusana

    Je vifaranga vyako vya kuku vyafa kwa ndui? njoo tutete

    Kupatikana kwa dawa si ndio suluhisho lenyewe? Au kwa kuwa amegundua mbongo badala ya wazungu mnaowaabudu
  4. Tamutamusana

    Je vifaranga vyako vya kuku vyafa kwa ndui? njoo tutete

    Kinga ya ndui ni kuwachoma sindano kuku wenye umri wa wiki saba. Kumbuka ndui huanza kuwaatack vifaranga vifikishapo siku ya tano tangu kutotolewa Kwa maana nyingine hiyo kinga ni vioja tu
  5. Tamutamusana

    Je vifaranga vyako vya kuku vyafa kwa ndui? njoo tutete

    Ugongwa wa ndui umekua kikwazo kikubwa kwa wafugaji kuku wa kienyeji. Sasa naweza kutibu kuku wangu wenye ugonjwa huo, hii ni baada ya utafiti wa mda mwingi kidogo. Ni dawa ya kupaka. Baada ya siku tatu ugonjwa hupotea. Naweza kukuuzia pia. Dawa ya kutosheleza kuku 100 kwa tshs 10, 000 tu...
  6. Tamutamusana

    Sitongozwi, nini tatizo?

    Mwandiko huu ndio unakufanya usitongozwe. Wanaume hupenda mwanamke laini na si aliekauka kama mti
  7. Tamutamusana

    Ushuhuda.Kweli dawa za kuondoa tatizo la upungufu wa nguvu za kiume zipozipo

    Unataka kuseme mitishamba haitibu? Tumia mwarobaini tuone kama hujapona malaria
Back
Top Bottom