wewe ni matak... kweli sa kwa taarifa yako mimi sitegemei mkopo boya wewe ningekua nategemea mkopo nisingeripoti chuo kisew... wewe. shame on you idiot.
Yani mkuu huku simple tu kama unajua kutumia hela vizuri aise unaishi bila wasi wasi.wali maharage mia saba tu nakula mpaka nakibakisha then naomba mfuko anifungie uliobaki naumalizia usiku maisha yanaenda.
mkopo sijapata jomba ila nimejiongeza mimi mwenyewe tu ndo tupo tunafanya registration hapa ya hamna story zingine za wanafunzi hapa chuoni zaidi ya story za bodi ya mkopo na kuhusu kukesha baa na uzinzi mkuu sinaga hizo mambo aise situmii kilevi cha aina yoyote jomba.NAMWOGOPA MUNGU.
Habari wadau.
Hivi inawezekana kubadili coarse chuoni ukaenda coarse nyingine maana mimi nilimwachia mtu akanifanyia application then nikawa nimeenda JKT sasa nataka nikabadili nisome BAED badala ya BED ambayo ndo nimechaguliwa.
Anayejua taratibu zinakuwaga vipi anielekeze
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.