Recent content by tamshuta mshindaba

  1. T

    JamiiForums Tanzania frem inapangishwa 100,000/= kwa mwez

    Mkuu iamishe ilete magomeni mapipa tufanye biashara
  2. T

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Jipatie bidhaa kutoka kwetu kwa bei nafuu, tupo Kariakoo

    Mkuu mm naitaji kwa matumizi ya ofisini kwa uzoefu wako ni aina gan ya printer itafaa na aina ipi ya computer itafaa ushauri wako nipe na bei ya kila kimoja tufanye biashara.
  3. T

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Jipatie bidhaa kutoka kwetu kwa bei nafuu, tupo Kariakoo

    Mkuu mm naitaji printer na computer vp bei
  4. T

    JamiiForums Tanzania Sifa ya kampuni

    Habar yenu wakuu kama kichwa cha habari kinavyosema ni sifa zipi zinaitajika mpaka kuitwa kampuni. Asanteni
  5. T

    JamiiForums Tanzania Msaada wenu watalaamu

    Wataalamu umenichunia
  6. T

    JamiiForums Tanzania Msaada wenu watalaamu

    Wakuu vp nawasubiria mbn kimya?
  7. T

    JamiiForums Tanzania Msaada wenu watalaamu

    Habari zenu wakuu, ninashida wakuu, Inanitatiza bado sijapata suluhisho mpaka mda huu na jambo lenyewe nakaribia kulifanya. Bila ya kuwachosha nianze na jambo langu ninalotaka msaada. Ninataka kujiajiri katika kitu fulani lakini mpaka mda huu sijajua nafanya kwa utaratibu gani tupo wawili ila...
  8. T

    JamiiForums Tanzania Natafuta kioo cha tv hii

    Asante mkuu unavyosema ni kweli mana niliulizia kwa mafundi watatu tofauti tofauti bei zao 450,000/ 500,000/ wanacheza umo wengine wanasema hakipatikani ila mm nikipata mtu mwenye tv kama hii ni mbovu aniuzie kioo
  9. T

    JamiiForums Tanzania Natafuta kioo cha tv hii

    Habari zenu wakuu naomba msaada mwenye kuuza kioo au tv yake mbovu lakin kioo kizima aniuzie kioo chake yaani roho inaniuma sana nikiangalia tu yangu haijavikisha wiki 1 kioo kimepasuka niliagizia kutoka Zanzibar tv yenyewe aina ya Toshiba inch 46 lcd Kama unaweza kunisaidia kwa hili nicheki...
Back
Top Bottom