Recent content by Tambala mbovu

  1. Tambala mbovu

    HATUCHEZI..YANGA MUWE NA MSIMAMO KUOKOA SOKA LA NCHI YETU HAWA WANAZI WA SIMBA KWENYE BODI WAAIBIKE

    Majibu ya CAS Yana semaje au CAS nao ni wanazi kama Bodi ya ligi
  2. Tambala mbovu

    Ricardo Momo: Yanga wana sababu za msingi kugomea mechi

    Simba walifanyiwa fujo na waakandika barua rasmi ya malalamuko kwenda bodi ya ligi kuhusu kilicho tokeo na Nia yao ya kutokucheza baada ya kufanyiwa fujo. Kwa mujibh wa barua ya kuahirisha mechi kutoka bodi ya ligi walisema walipata barua kutoka kwa Kamishina wa mchezo na Afisa usalama wa mchezo...
  3. Tambala mbovu

    Rais Karia na TFF yake kwa ushabiki huu wanaenda kuua soka letu

    Unajua umuhimu wa kyfanya mazoezi kwenye uwanja husika wa mechi ? Una elimu yoyote kuhusu michezo au una andika kwa hisia za kishabiki tu.Wachezaji wa Simba ambao walifanyiwa fujo kuanzia saa Moja mpaka saa tatu na nusu walikuwa kwenye Hali ipi kisaikolojia ? Kwa Nini turuhusu waapuzi ambao...
  4. Tambala mbovu

    Simba inahitaji mageuzi katika aina ya wachezaji

    Wewe ni miongoni wa wajinga wengi ambao hawajui mpira ila ni wajuaji
  5. Tambala mbovu

    Kwanini watu wanataka Bodi ya ligi wajiuzulu ili dabi iruduwe?

    Hii nchi Ina watu wajuaji sana, daaah Yani umeandika pumba ambazo hata hata wewe siku ukipata uelewa utajicheka sana.
  6. Tambala mbovu

    Kwanini watu wanataka Bodi ya ligi wajiuzulu ili dabi iruduwe?

    Andika hapa kanuni hiyo ambayo imekinzana na kanuni ya 34 ambayo bodi ya ligi wameitumia kuahirisha mchezo huo.Yani una andika maneno matupu bila kanuni daaah alafu una sema kanuni imevunjwa.PLZ USIJADILI KAMA HAUJUI KANUNI AU HAUJA WAHI KUSOMA HIZO ZA LIGI.
  7. Tambala mbovu

    Kwanini watu wanataka Bodi ya ligi wajiuzulu ili dabi iruduwe?

    Acha kuweka hisia bila kuweka kanuni kama ni kosa !!! Mechi iliahairishwa kwa kufata kanuni ya 34 mchezo wowote ambayo una hairishwa kwa kanuni ya 34 kifungu kuanzia Cha moja mpaka tatu itapangiwa tarehe nyingine. Sasa mchezo wowote ambao upangiwa tarehe nyingine Huwa una subiri kupatikana kwa...
  8. Tambala mbovu

    Kwanini watu wanataka Bodi ya ligi wajiuzulu ili dabi iruduwe?

    Yani ina onyesha haujui lolote ila una andika kutaka kujua lakini una jitia ujuaji.Yani mtu akisoma maandiko yako ana ona ujinga wako
  9. Tambala mbovu

    Kwanini watu wanataka Bodi ya ligi wajiuzulu ili dabi iruduwe?

    Wewe mwenyewe una sema unahisi maana yake hauna uhakika.Hii nchi ina watu wajinga sana Yani Mpira una jadiliwa hata na la Saba B
  10. Tambala mbovu

    Edibily Lunyamila - Moja ya wachezaji bora Nchi iliwahi Pata. Yupo wapi?

    Lunyamila alikuwa Winga, Bakari Malima ndio aliitwa Jembe Ulaya.
  11. Tambala mbovu

    Takwimu za Al Masry ni za kawaida wala hazitishi

    Acha kuonuesha ujinga wako hadharani, Simba Ina wachezaji wengi wa kawaida ila wachezaji wenye uwezo kama Mayele na ChamHii nchi ina ushabiki wa kijinga sana. Acha kuonyesha ujinga wako hadharani !!! Usiandike taka taka ukafikiri una andikia wajinga wenzio.
  12. Tambala mbovu

    Kwanini watu wanataka Bodi ya ligi wajiuzulu ili dabi iruduwe?

    Unajua kwenye toka mechi yoyote ya mpira wa mguu lazima awepo Afisa Usalama ambaye ndio mwenye jukumu la kusema hali ya usalama ilivyo ? Mechi ya Yanga vs Simba afisa usalama alikuwa Mrakibu msaidizi wa Jeshi la Polisi (ISP) Hashomu Abdallah ndio mwenye jukumu hilo la kusema juu ya usalama...
  13. Tambala mbovu

    Kwanini watu wanataka Bodi ya ligi wajiuzulu ili dabi iruduwe?

    Naomba nitajie hizo kanuni za fifa ili hoja yako iwe na mashiko. Yani una andika kwa hisia zako binafsi hakuna FACT,DATA au RESEARCH wewe una toa maelezo tu. Nimekuwekea kanuni ya bodi ya ligi ya 34 kifungu cha 3. Wewe lete kanuni za Fifa,ili nione hoja yako kama ina mashiko
Back
Top Bottom