Recent content by tamaduni

  1. T

    Bahati Bukuku amuimbia Lowassa wimbo

    we ulietoa vifungu vya biblia hapo juu muogope Mungu. Katika mistar uliyotoa hapo Mungu anazungumza juu ya mamlaka, Lowasa ana mamlaka gani kwq watz, bukuku anasema Lowasa anatawala kwa amani, je anatawala wapi? nadhani Bukuku hajawa makini ktk hili, Lowasa ni mbunge ktk jimbo fulani hivyo yeye...
  2. T

    Mgomo hatarini kuendelea Kampala Inter. University

    we BGG nadhani ww ni mgeni na Tanzania jinsi ili na uvivu wa haki za watu, hivi ulishawahi kujiuliza kama watu hawa(waganda) walipata wapi kibali cha kuanzisha chuo? je aliyewapa hicho kibali hajui taratibu? kama hajui icho cheo/dhamana kaipataje na kama anajua kwanini asihakiki usajili wa chuo...
Back
Top Bottom