Habari wakuu, Nina tafuta soko la soya ninazo nyingi Sana naomba kufaham masoko yake niwapi hasa maana kwa Sasa ninawauzia watu waliopo kwenye masoko yakawaida Ila nataman kupanua soko zaidi naomba tuwasiliane 0653240453, kitu kingine ambacho ninacho ni asali ya nyuki wakubwa Mbichi pamoja na...
Wakuu habari. Nina uza asali ya nyuki wakubwa ninayo nyingi mno nisaidieni mwenye kufaham soko la uhakika hata tani 30 inafika pia nta zake zipo nyingi sana. Ahsanteni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.