Sasa kama zinawatu, kwanini watuite watu wa mikoani?. Hawatuonei huruma kwa gharama tunazotumia kwenye nauli zetu, basi watulipe nauli tulizotumia watu wa mikoani ili tumalizane kwa amani.
PPF IMEAJIRI WATOTO WA VIGOGO
MBONA WA BOT WALISHTAKIWA?
Miaka michache iliyopita BOT
ilichunguzwa jinsi ilivyojaza watoto
wa vigogo.
PPF kama shirika la umma, ajira
inatakiwa iwe kwa watanzania
wenye sifa na waajiliwe kwa
utaratibu wa wazi. Lakini sio hivyo
kwa PPF wengi wameajiliwa kwa
maagizo...
We chief jj acha zako, mifuko ya jamii huwa wana written mbili na oral moja. Baada ya uchakachuaji wao wataita watu wao kwa oral. Na baada ya hapo ni kazini kaka.
Kulikuwa na maswali ya multiple choice pale mkuu, huwezi jua. Labda ninaweza kubebwa na hayo maswali. Japo kuwa ki ukweli ile paper ilikuwa kigongo, sijawahi kukutana na paper kama ile.
Kwa waliokuwa kwenye interview ya pili pale chuo cha elimu ya watu wazima. 27/06/2015. Wale wasimamizi hawakuongelea itachukua muda gani kuanza kuita watu kwa oral interview.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.