Recent content by Taghamaha

  1. T

    Magufuli: Subirini ushindi wa Tsunami

    we bado mtumwa wa fikra, ndo maana mnasema hatuna uwezo wa kuvuna gesi tuliyonaye. hata muamko tu wa kisiasa ambao hata kipofu anauona wewe unasubiri marekani na mchana akushauri? funguka kifikra.... m/kiti wenu alishakuambia "akili ya kuambiwa changanya na yako" sasa changanya hiyo ya wachina...
  2. T

    ACT-Tanzania, Mapato na matumzi ya chama

    unajua ndg zangu, mjanja kuwahi. ukisubiri saccos za kawaida ili zikuinue kiuchumi utalala mlango wazi. jamaa ana-struggle apate tu wabunge angalau wawili ili ruzuku na michango mingine imuzoee. zzk alishasema yeye si mwanasiasa, kwake ualimu na kilimo ndo kila kitu. kesho yake akageuza kibao...
Back
Top Bottom