we bado mtumwa wa fikra, ndo maana mnasema hatuna uwezo wa kuvuna gesi tuliyonaye. hata muamko tu wa kisiasa ambao hata kipofu anauona wewe unasubiri marekani na mchana akushauri? funguka kifikra.... m/kiti wenu alishakuambia "akili ya kuambiwa changanya na yako" sasa changanya hiyo ya wachina...
unajua ndg zangu, mjanja kuwahi. ukisubiri saccos za kawaida ili zikuinue kiuchumi utalala mlango wazi. jamaa ana-struggle apate tu wabunge angalau wawili ili ruzuku na michango mingine imuzoee. zzk alishasema yeye si mwanasiasa, kwake ualimu na kilimo ndo kila kitu. kesho yake akageuza kibao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.