Recent content by tabula sio lasa

  1. tabula sio lasa

    Watanzania tumezidi kukosoa

    Tatizo kupetuka mipaka
  2. tabula sio lasa

    Watanzania tumezidi kukosoa

    Kwan mi nimekataa rais kukosolewa tatizo imekuwa too much hata wanaomsifia mh. Nao wanaonekana wamekosea
  3. tabula sio lasa

    Watanzania tumezidi kukosoa

    Hapo nimekuelewa labda nikwambie kuna tofauti kati ya kumkosoa na kumkashifu mtu hakuna kiumbebanaeweza kumkosoa mungu isipokuwa kumkashifu Hata watanzania wengi wanafanya kukashifu mf kusema pombe sio chai wakizani wanakosoa kumbe wanakashifu
  4. tabula sio lasa

    Watanzania tumezidi kukosoa

    Tatizo watu wanakosa uvumilivu hata baba unapomkosoa Fanya kumkosoa bila kuutoa ubaba wake
  5. tabula sio lasa

    Watanzania tumezidi kukosoa

    Elimu bure
  6. tabula sio lasa

    Watanzania tumezidi kukosoa

    Je nikweli wamezid kukosea hali ya uchumi dunian kote ni mbaya sasa watu wanataka tuishi kama tupo japani haiwezekani hata kama tuliahidiwa tukumbuke kuku hawezi kupata vingaranga bila kutaga na kutotoa
  7. tabula sio lasa

    Watanzania tumezidi kukosoa

    Huo ukweli lakin mambo hayo hayapo vichwan mwa watanzania kama ingekuwa tunawaza uongozi sio degree hadi muda huu mjadala wa bashite usingekuwepo lakin kwakuwa ndo kweny mwanya acha watu waongee yasio ya msingi et tuachie nchi yetu we nani mtu unaebet uachiwe nchi[emoji16] [emoji16] [emoji16]
  8. tabula sio lasa

    Watanzania tumezidi kukosoa

    Bora hata ww unaniambia jambo la maana
  9. tabula sio lasa

    Watanzania tumezidi kukosoa

    Kama ni different kwann kundi KUBWA linawaza negative kila kukicha hata positive bado tunaziweka positive
  10. tabula sio lasa

    Watanzania tumezidi kukosoa

    Tangu mh. JPM kuingia madarakani mengi yameonekana akiwa kama binadamu hakosi madhaifu ila watanzania too much tumezidi kukosoa hatujui hata kusifia nauhakika kuna mtu hapa ukimuuliza jema moja la mh JPM atakwambia hana. Mwisho wa kuwaza
  11. tabula sio lasa

    Hoja hufungwa kwa hoja si kwa vitisho wala kifungo mahabusi

    Ningekuwa nimeambiwa mm ningefanyia kazi bila kuangalia ananiambia nan
  12. tabula sio lasa

    Sheikh Noordin Kishk wa Temeke ammwagia sifa Rais Magufuli kwa kukemea utovu wa maadili!

    Da jamii forum imejaa mashabiki na sio magreet thinker kama nilivyokulia humu badilikeni kuna thread haziitaji hata comment sijui mtoa mada alitaka watu wacomment nn ila wengi mmeonekana kuchanganya maji na unga ndani ya maji yenye 0°C
  13. tabula sio lasa

    Nini msimamo wako kama mtanzania. Serikali,mbili au tatu

    Hatari kwa afya ila Mi nataka elimu bhana potelea mbali
Back
Top Bottom