Kwanini aitwe msaliti, kwamba shule zenye hali kama hiyo zisionyeshwe?? Maana yake wakubwa wasizione ili wazipe vipaombele. Yaani watoto wetu waendelee kuteseka? Unataka tuendelee kupost madarasa mapya, ili iweje?
Kama mnaona aibu zijengeni na hizi shule, najua ziko nyingi. Nilidhani huyu mdau...
Dhambi ya usaliti haijawahi kumuacha MTU salama. Waitara ameanza kulipa hiyo dhambi. Sidhani kama ukitoa familia yake, kuna yeyote anayeumizwa na kutumbuliwa kwake! Let him go!
Huyu in kwa sababu ya ULEVI wake na yuko arrogant kupita kiasi. The guy doesn't behave/look as a minister. Yaani MTU unajiuliza huyu naye aliupataje hata huo uNaibu!! Very useless guy ever seen on earth.
Nadhani atarudi Ukawa sasa. Anyway, who cares he can go even to hell!
Muulizeni na ile shehena ya madawa aliyofuata Madagascar iko wapi? Au waliimaliza yeye na jamaa yake? Kama bado ipo aitoe tuwe tunashushia kwenye chanjo.
Hivi ilifanyiwa utafiti na wataalamu wetu kweli kabla ya yeye kubugia siku ile mbele ya kamera!!??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.