Inevitable
Member
- Apr 27, 2012
- 82
- 159
Wakuu,
Kwa taarifa za uhakika, Waziri Mkuu wa zamani, Ndg. Edward Lowassa ni mgonjwa na amelazwa Hospitali ya Taifa, Muhimbili.
========
UPDATE:
Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa amelazwa katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili baada ya kufanyiwa upasuaji wa tumbo.
Taarifa kutoka kwa familia hiyo zinasema kuwa kiongozi huyo amelazwa katika hospitali hiyo kwa karibu wiki nzima baada ya kufanyiwa upasuaji.
Mbunge wa jimbo la Monduli, Fredrick Lowassa ambaye ni mtoto wa Lowassa leo amesema baba yake alilazwa katika hospitali hiyo alipopatwa matatizo ya tumbo.
UPDATE 2:
Lowassa amelazwa South Africa na anaendelea na matibabu.
Kwa taarifa za uhakika, Waziri Mkuu wa zamani, Ndg. Edward Lowassa ni mgonjwa na amelazwa Hospitali ya Taifa, Muhimbili.
========
UPDATE:
Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa amelazwa katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili baada ya kufanyiwa upasuaji wa tumbo.
Taarifa kutoka kwa familia hiyo zinasema kuwa kiongozi huyo amelazwa katika hospitali hiyo kwa karibu wiki nzima baada ya kufanyiwa upasuaji.
Mbunge wa jimbo la Monduli, Fredrick Lowassa ambaye ni mtoto wa Lowassa leo amesema baba yake alilazwa katika hospitali hiyo alipopatwa matatizo ya tumbo.
UPDATE 2:
Lowassa amelazwa South Africa na anaendelea na matibabu.