Hongera age mate na pole town apa pagumu sana ata mm pia nimelala sana kwenye magofu aya baada ya kumaliza degree mwaka jana sema nn ...kk kuwa open watu wanaconnection sana,hela pia zipo kwa watu jaribu kujishusha zaidi watu back wanasidia sana tena bila wivu kuliko ndugu...kila kher kk...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.