Habari wana JF
Kuna hizi tenda za kuomba uwakala wa kukusanya fedha za huduma mbali mbali katika vituo vya afya na hospitali za serikali.
Kwa anayefahamu/mwenye uzoefu na hiyo kazi naomba anifahamishe kwa uchache baadhi ya mambo…
1. Namna ya kuomba na kupata hizi tenda.
2. Vigezo...
Habari za muda huu wana JF??
Nimekutana na video moja mitandaoni iliyorekodiwa na muumini wa dini ya Kiislam akilalamikia Kanisa lililopo karibu na Msikiti alipokua anakwenda kufanya ibada na kukuta Redio ikiwa inaimba kwaya Kanisani hapo pasipo kuwa na mtu ndani.
Muumini huyo amelalamikia na...
🤣 uchumi ni hohaheha ndio maana najaribu kuupambania sana uchumi wangu nisije kuaibika hapo mwezi wa sita.
Shida ninayoiona hapa ni kuendekeza baadhi ya mila ambazo mwisho wa siku zina komoq kwa upande wa muoaji na muoaji akiingia mitini hasara inakua kwao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.