habari wadau..
Naomba kujua mshahara (basic salary) kwa technician wa electronics and telecommunications engineering katika hayo maeneo: TBS, TBC, TTCL, TPA na sehem nyingine ambazo ana apply. NB: NI technician mwenye diploma, registered as technician II by ERB and soon to become technician I
habari wadau, kwa wale tuliopangiwa kazi "the university of Dar es salaam" lakini tunasubiri kupigiwa sim, tupeane updates hapa wakianza kupiga sim maana binafsi nimesha postpone chuo nikisubiri kuitwa kazini lakini bado sijapokea sim yao.
Upo sahihi kua na wasiwasi mkuu. Nimefanya kazi na wachina, i know them. Sio watu wema kabisa. Humu jf kuna jamii ya wasenge_nyaji kazi yao ni kutafuta makosa kwenye post za watu. Akili fupi ni tatizo sana katika jamii yetu Tanzania. Tukiendelea hivi soon tutafungwa minyororo shingoni na still...
Acha kukurupuka. Soma uelewe point yangu. Tahadhari sio solution, wingu la ukosefu wa ajira limetanda. Mtu akiona tangazo kwenye ukurasa wa waziri ummy mwalim ni rahisi mno kuliamini ilo tangazo na kutuma pesa.
Habari wadau. Natafuta kazi ya kuniingizia kipato. Nina advanced diploma in electronics and telecommunications engineering. Kazi zote za electonics na electrical naweza kufanya. Ukinipa kazi za computer networking nipo vizuri mno na telecom pia. Kama una ofisi yako ya computer related issues...
Mda mwengine mtu unaweza kudhani hii ni miradi yao au wahusika kadhaa wa red cross wanatumia mwanya kujipatia fedha. Ili tangazo feki limetoka kitambo sana, na watu wengi wamepigwa. Lkn wanakuja kutoa tahadhari 02 october! Na bado still ile number inaendelea kupokea pesa za watu as if...
wakuu nimejaribu ku search lakini sijaona uzi unaozungumzia hii issue ya kununua laptops na sim online.
nataka kununua laptop moja lenovo x270, soko la bongo hapa kariakoo nilziona duka moja pale mtaa wa kongo ilikua inauzwa 370k lakini sikua na pesa. sasa nikiicheki ebay, minimum price ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.