Recent content by syber

  1. syber

    Mtaalam wa tiba za kienyeji (mganga/ ustadh) anahitajika

    Soma hili tangazo ni rasmi na kuna gari inapita mitaani inatangaza afu unambie je sio waislam ?
  2. syber

    Mimi ni mzaliwa na raia wa Tanzania bara nataka kuwa raia wa Zanzibar, je inawezekana? Nifuate taratibu zipi?

    Mwanzo nilikuwa naona kama Zanzibar wanatunyonya sana Tanganyika ila kwa miaka miwili sasa tangu nimekuja kuishi hapa kweli nimegundua wazanzibar wanamaisha magum sana. Bidhaa zote wanazotegemea toka Tanganyika bei zake ziko juu sana kama mazao ya chakula Chukulia mfano hizi bidhaa bei ya...
  3. syber

    Mtaalam wa tiba za kienyeji (mganga/ ustadh) anahitajika

    Madaktar feki weng tu hata juzi mwingine kakamatwa labda kama hufatilii mambo mkuu
  4. syber

    Mtaalam wa tiba za kienyeji (mganga/ ustadh) anahitajika

    Sawa mkuu nitumie namba yko PM mkuu
  5. syber

    Mtaalam wa tiba za kienyeji (mganga/ ustadh) anahitajika

    Toka utoto tunaona kuna watu wanaibiwa mtu anatangaza aloiba ajisalimishe anapokosekana mashekh wanakaa na kusoma kisomo aloiba yanampata mabaya Afu ww unapinga kuwa tunauchafua Uislam tunauchafua vip sasa ama ww ndo unataka kuuchafua kwa kuthibitisha kuwa hicho wanachofanya ni ushirikina ...
  6. syber

    Mtaalam wa tiba za kienyeji (mganga/ ustadh) anahitajika

    Mkuu tiba sio ushirikina, kuna watu wamejaaliwa na Mwenyezi Mungu kutibu hivyo wanachokifanya si ushirikina, wala sijausemea vibaya uislamu mkuu. Nilichogundua watu kama nyie ndio uwa mnasababisha kutokea kwa machafuko maana unaingiza mambo ambayo hayapo kabisa.
  7. syber

    Mtaalam wa tiba za kienyeji (mganga/ ustadh) anahitajika

    Achana nae huyo mkuu atakuwa muongo tu na hadi kufikia hatua kuamua nahitaji tiba asili jua yashanikuta mengi huko unakosema ww
  8. syber

    Mtaalam wa tiba za kienyeji (mganga/ ustadh) anahitajika

    Mi ninachojua wapo wanaotibu kwahiyo siwez kujua wanatibu vip mkuu
  9. syber

    Mtaalam wa tiba za kienyeji (mganga/ ustadh) anahitajika

    Tena wachungaji ndo hakuna kabisa yani waongo kupita kiasi, sitak hata kuwasikia. Nimeomba kwa Mungu nifanye nn ndo kanifunulia neno lake nitafute msaada kwa hawa watu maana ninachotafuta ni ndugu yangu kupona sio dhambi. Ingekuwa kuombewa tu unapona basi kusingewekwa mahospital ama...
  10. syber

    Mtaalam wa tiba za kienyeji (mganga/ ustadh) anahitajika

    Duh kwel wengi ni matapel, nimeonana na watu kama watatu wote hakuna kitu
  11. syber

    Wanawake wanaoingiliwa kinyume na maumbile ni mashoga waliosahaulika

    Mmhhh we ndo hujui utam tigo ni balaa
Back
Top Bottom