Hapana nilichukua gauni nyingine ingawa sikuipenda, pesa najua nisingeweza kuipata maana sidhan kama ile gauni kama angeweza kuiza then aje anirudishie hela yangu
Hapana niliamua tu tuchukua nyingine iliyokua kweny sale though sikuipenda kihivyo mana nilijua mwisho wa siku hata ile pesa yangu sidhan kama ningerudishiwa
Habari za asubuhi wapendwa.
Yaani nimeamka na mawazo sana nikaona nije huku kutaka msaada wenu yawezekana mm ni mshamba eneo hili.
Juzi nilinunua nguo duka fulan maeneo ya Sinza kulikua na sale hizi nguo za Uturuki kwa sale ya sh laki1. Katika nguo zilizokua kweny sale atleast ile kwangu ndio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.