Nimegundua vijana wengi wanaogombea bavicha ni watu wa kukaa makao makuu ya chama,hivi sasa wanasubiri kubebwa na wakubwa na watu maarufu ndani ya chama.Kwa mtindo huu vijana nyie mtapigwa asubuhi.Wengi mko facebook na mimimnadanganyana huko wakati mwenzenu Upendo yuko field anazunguka na...
Shida ya watu wa aina yako ni wivu,mwenzako kaandika Mawazo yake kwa jina lake halisi...kama kweli unamfahamu njoo kwa jina lako tukuhoji vinginevyo wewe ni mbulu kenge Wa madoa doa
Hakuna sifa zingine zinazotakiwa mbali na mtu kuwa mwana chadema,habari ya uha,usukuma,udini,ukanda au makundi ni upuuzi.Nani ndani ya chadema asiyejua uchapaji kazi wa Pendo?
Niliwhi kumtaja binti huyu mimi mwenyewe kama ideal candidate wa nafasi ya Mwenyekiti baraza la vijana la chadema...ukiachilia majungu na visavisa vingine kila mtu anapaswa kumuunga mkono.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.