kwa siku za karibuni nilikuwa sijasikia mtu wa namna hii.Ufisadi tunaunganisha na imani za kidini? kweli kuliko ufilisike dhamira afadhali ufilisike kwa kukosa hela!
Al Capone muitaliano aliyeishi huko marekani kipindi kilichopita alipendwa sana na watu wa mtaani kwake, kwani aliweza kulipia ada za watoto maskini shuleni, akalipa ada na bill za maji na umeme lakini alikuwa ni kiongozi wa kundi la mafia anayekumbukwa hadi leo. Hivyo kutokana na tulivyo...
mchakamchaka upi na uchapakazi upi toa mifano kama ya kweli tutakubali anachojua ni visasi tu na kupayuka. Nimekuwepo kwenye serikali hii kuanzia 1995 hatujapata kiongozi tuna waganganjaa tu!
Bwaa kubwa sema kitu ambacho kimeongelewa hapo juu sisi hatujaambiwa nani UKAWA nani siyo! kama unajua kusoma na kuelewa kilichongelewa hapo juu ni intergrity ya mtu na wala siyo nani ni ndugu yake nani! wala kwa taarifa yako uwezi kuwa UKAWA hata sekunde moja angalia ulivyoanza!, Umetumwa...
kama unachosema ni kweli basi Lowassa siyo mtiifu ni mjinga kwani mtu mjinga akakwambia kitu cha kijinga nawe ukafuata wewe ni mjinga kuliko aliyetangulia. Kwa hiyo kutokana na ujinga huo tunaweza sema kuwa wote ni wezi na siyo jambo la msingi kutembelewa na Obama kunahararisha jinsi mitambo...
Bwaa kubwa sema kitu ambacho kimeongelewa hapo juu sisi hatujaambiwa nani UKAWA nani siyo! kama unajua kusoma na kuelewa kilichongelewa hapo juu ni intergrity ya mtu na wala siyo nani ni ndugu yake nani! wala kwa taarifa yako uwezi kuwa UKAWA hata sekunde moja angalia ulivyoanza!, Umetumwa...
kama walivyo wengine kwenye chama chao sijui wanawatoa wapi na hapa amesema sio kosa kupata msamahaha wa kodi hivi msamaha anapata mtu yeyote alimradi kaomba msamamaha.Yeye anaangukia wapi ana au anadhani hatujui utaratibu wa kupata misamaha au anaendesha charity organization? anapata msamaha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.