Ni mwaka wa 13 sasa tukiwa kwenye ndoa. Nimeajiriwa, nafanyia kazi vijijini huku mke wangu na watoto wanaishi mjini ambapo yeye anajishughulisha na biashara ndogondogo.
Kwa sababu ya umbali na gharama, mimi hurudi nyumbani weekends au mara 2 kwa mwezi. Kinachoniumiza ni kwamba, mke wangu...
Mi ntawaruhusu waendelee kungonoka, wakimaliza wanitaarifu. Baada ya kumaliza tutaendelea kuishi kwa kuogopana kwa muda mpaka ama tuachane au nimsamehe.
Mimi mwalimu wa sekondari. Nimeajiriwa mwaka huu wilayani TARIME. Natafuta mwalimu wa kubadilishana naye ili nihamie wilayani BUNDA. Naombeni msaada jamani...!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.