changamoto hizi ni kubwa sana katika zahanati hasa binafsi wamekaa kibiashara zaidi kuliko kukupa uhalisia wa afya ya vipimo vyako.....watu wengi wanapewa maradhi ya UTI au maralia bila hata kuwa nayo
UTANGULIZI
kwa mtaji wa milioni 5 unaweza kujikwa mua kichumi kwa kuanzisha mradi wa uuzaji wa vipuri na virainishi vya pikiki almaarufu bodaboda kwa maeneo ya pembezoni mwa miji(mji)
Tumependelea kutumia maeneo ya pepembezoni mwa mji kwa kuwa ndio sehemu zenye huduma nyingi za pikipiki au boda...
umri is a just a number.so kikubwa ni kutambua kuwa hawa tunao wachangua ili watuongoze katika ngazi mbalimbali wanaweza?maana kuongoza ni kipaji na wala sio kuwa na elimu kubwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.