Wapendwa leo nimekutana na changamoto wife kanionyesha sms zote jinsi tulivyokuwa tunachati na mchepuko.
Kilichonishangaza ndo hicho make sms zote tulizochat nilidelete kwahiyo nimeenda home nikijiamini kuwa simu ni safi hakuna kitu chochote nilichokutana nacho sasa majanga.
Ebu mwenye kujua...
Naomba msaada kwa Jiji la Mwanza penye garage nzuri ya magari madogo. Gari yangu aina ya Toyota Brevis inaniwashia alama ya check engine ikiwa kwenye mwendo nikisimama na kuzima halafu nakuwasha tena inapotea kwa muda badae tena inarudi nikisimama nikazima gari halafu nikiwasha tena inapotea lkn...
Mkuu umeelezea vizuri sana. Naomba unisaidie kitu isijekuwa nami gari yangu yalishaondolewa. Gari yangu ni brevis ninapowasha nakuondoa gari rpm inakuwa kama inajump kutoka 1 kwenda 2 nahapo speed inakuwa chini ya 40. Lkn rpm ikishafika 2 nakuendelea gari inaenda vizuri tu bila shida yoyote.
Naomba msaada gari yangu aina ya brevis nikiendesha inakuwa kama inajump rpm inapopanda kutoka 1 kwenda 2 lkn ikishafika mbili inachanganya vizuri tu na huwezi jua kama gari inashida lkn pale speed inapokuwa chini ya 40 na rpm inakuwa katikati ya 1 na 2 ndo shida inaanzia hapo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.