sasa mkuu, chukulia hyo cmu y laki nane cna na mtaji cna na nataka maendeleo nafanyaje hapo!ni lazma serikali ihucike kama ambavyo wanatoa mikopo kabla ya chuo bac wafanye vivyohivyo baada y kumaliza kwa wale watakao kosa kazi.
mbegu zinauwezo wa kukaa ndani ya mwili wa mwanamke ndani ya masaa 48 hadi 72 xawa na cku 2 hadi 3 hvyo kuna hatari ya kupata mimba ukfanya mapenz cku ya 12 kam maelezo yako hapo yanaeleza kuwa cku ya 14 mwanamke yupo tayar kurutubixha.hvyo ucjaribu kaa nae mbali,ngoja tuone na wataalam zaidi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.