Recent content by suziedalitso

  1. S

    Nauza nguruwe cross breed ya large white

    Karibuni nauza Nguruwe wapo 22 Kiromo bagamoyo kwa kilo nauza 7500.kwa wale wanaotaka kuanza kufuga mnakaribisha kuwanunua.bahati mbaya picha zinagoma Ku upload kila nikijaribu.kwa mawasiliano zaidi piga+255754840408 au 0756 661761.asanteni
  2. S

    Eneo nzuri kwa ufugaji wa aina zote linauzwa

    Eneo la 1600sqm lenye mabanda na system ya maji na solar tayari linauzwa maeneo ya Kiromo bagamoyo. Cost ya Mabanda pmj na system ya maji na solar ni 12.5m gharama ya kununua eneo ni 7.5m (malipo kwa installment tatu ya hii bei ya eneo inawezekana) jumla 20m. Eneo lipo mahari pazuri na penye...
  3. S

    Nauza banda la Nguruwe na eneo la kufugia

    Banda 11m,system ya maji 1.5m pmj pig nipples/tank na pump installations zote,solar 1m,2.8m Kiwanja 1600sqm (ni vile vya mradi tulilipa installment ya kwanza 2.8m Kiwanja kizima kinacost 7m tulilipa 40% atakayekimiliki tunamkabidhi anaendelea kukilipia kwa installment tatu anapomaliza anapewa...
  4. S

    Nauza banda la Nguruwe na eneo la kufugia

    Bagamoyo Kiromo.Maelezo mengine nimeweka contacts tuwasiliane nikupe breakdown.humu sipo Mara kwa Mara.
  5. S

    Nauza Gari la Mazda tribute kama spare

    Nauza Gari la Mazda tribute kama spare za magari.kwa Maelezo zaidi tuwasiliane kwenye 0756 661761 whatssap 0786057 996 kwajili ya picha.
  6. S

    Nauza banda la Nguruwe na eneo la kufugia

    Habari,nauza eneo na banda la kufugia Nguruwe, bagamoyo,eneo ni zuri 1600sqm,malipo kwa installement kwajili ya eneo inawezekana na endapo unamaliza intallment ya mwisho unapewa na hati kabisa ya wizara ya ardhi,eneo tayari tuliweka maji tayari,unaweza kufuga hata bata na kuku ukipenda soko kule...
  7. S

    Nauza Shamba bagamoyo fukayosi

    Ingia whattsap Whatssap me on 0786057996 unieleze in details
  8. S

    Nauza Shamba bagamoyo fukayosi

    Nina Shamba nilinunua chini ya kampuni wanao uza mashamba ya mradi linauzwa milioni tano ni eka tano malipo ni kwa installment nikalipa installment ya kwanza 1.5m sasa tukapata eneo lingine mjini kdgo kwa MTU alikuwa anauzwa bei ya chini tukanunua hilo pia.natafuta Mteja mwengine tubadilishe...
  9. S

    Nauza Shamba bagamoyo fukayosi

    Nina Shamba nilinunua chini ya kampuni wanao uza mashamba ya mradi linauzwa milioni tano ni eka tano malipo ni kwa installment nikalipa installment ya kwanza 1.5m sasa tukapata eneo lingine mjini kdgo kwa MTU alikuwa anauzwa bei ya chini tukanunua hilo pia.natafuta Mteja mwengine tubadilishe...
  10. S

    Tunauza nyama ya kitimoto

    Nipo dar samahani sipo mwanza
  11. S

    Tunauza nyama ya kitimoto

    Kila siku tunasambaza asubuhi lakini naomba unisms huku sipo Mara kwa Mara. Tunauza mbichi ndio.
  12. S

    Tunauza nyama ya kitimoto

    Tegeta masaiti
  13. S

    Tunauza nyama ya kitimoto

    Napatikana bagamoyo kiromo kila mzigo tunasambazia Tegeta masaiti
  14. S

    Nauza project yangu ya nguruwe

    Nina project ya nguruwe kwenye plot ya 1600 Sqm.nguruwe wapo 34.asilimia kubwa wengi ni majike.wawili tayari wana mimba na wawili tumewapandisha.madume wako Kama 8.project ipo bagamoyo kiromo.ninauza plot nilipojenga mradi pamoja na mradi wenyewe.Nina vijana wawili wanaosimamia ambao wako wazuri...
  15. S

    Tunauza nyama ya kitimoto

    Karibuni tunapokea order za kitimoto (nyama ya nguruwe) kwajili ya kusambaza jumapili.kilo tunauza elfu 9 pmj na gharama nzima ya kusafirisha order popote ulipo.asante. +255627800800 /0756661761
Back
Top Bottom