thanx....mzaz mwenzie haishi na mtu,,,mtt ni hyo aliezaa na mume wngu... nyumba hajawah kuish but alishawah kuja mara nying kipindi mimi sipo... mawasiliano nae sina na wala sijawah kuonana nae zaid ya kwny ndoto na picha... bado atujafunga ndoa ila tunategemea mwaka huu kufunga ndoa
habar zenu wapendwa!!mimi naitwa mama L..... kuna ndoto ambayo inanitatanisha hivyo naomben msaada wenu kwa wale wanaojua tafsiri za ndoto.. NDOTO yangu ni kwamba uwa naota maiti zipo ndani kwangu au kma sio ndani basi zipo kwa nje ya nyumba zimening'inizwa knyw mti... na chazo cha ndoto naaza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.