Jamani me nadhani kabla ya kumshauri mngemuuliza kwanza chanzo cha ugomvi ni nini! Mana nimesikitika mnachangia kitu ambacho hamjui ukweli wake.
Mm huwa naamini naweza kusolve matatizo yangu kwa kumshirikisha mungu kupitia maombi na wakati mwingine kupitia watu wenye busara km wazazi etc...
Mbona anafanana na wangu..yaani anaona she is right kabisa..sasa nasema kweli moyoni anaona hvyo au ni nje tu kwani inakua obvious kakosea lkn hataki kabisa anasema mm ndio nina kosa..
Mmmh pole sana..yaani hata mm ikitokea kuachana nitaona bora nikae mwenyewe tu..and najua nitaweza tu..yaani ni mzuri tu tatizo tabia yake haiendani kabisa..
Asante na kweli mm nimeamua sinunui tena chochote. TV ni ya chumbani kwa hiyo sasa ikifika asbh nikitaka kwenda kuangalia taarifa ya hbr sitting room anakataa anasema huko house girl wanasafisha na wamevaa kanga hataki..
Najitahidi sana wasione yanayotokea ila km huyu mdogo akikasirika na yy anarusha toys zake au kujirusha chini. Sasa nasema sijui karithi tu tabia au ni kitu ambacho amewahi kuona.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.