Theluthi ni moja ya tatu, yaani kitu kimoja ukigawanye sawa sawa katika sehemu tatu. Robo ni moja ya nne, yaani kitu kimoja ukigawanye sawa sawa katika sehemu nne. Mzimu wa Kolelo
It's a mystery, na ndiyo inapendezesha na kutia hamu ya kusoma story. Kama wewe ni mpenda kusoma hadithi/novels za mystery/crime and investigation, utakuwa umenipata. Vitu vingine inabidi viwekwe mpaka mwisho ili na wewe upate hamasa ya kuendelea kusoma, kufikiri zaidi.
Nadhani watu wengi humu si wenye kupenda kusoma vitabu vya hadithi/novels na kuelewa, lengo la muandishi ni kuelezea nini? Nashauri watu warudie kusoma kichwa cha habari.
Nadhani watu wengi humu si wenye kupenda kusoma hadithi za kwenye vitabu/novels kwahiyo hawajui hata story ina lenga nini. Nashauri watu wangerudi kwenye kichwa cha habari ya story
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.