Mbna jana Mbowe alikuwa ktk Mkutano wa Kichama na Chadema kwan walishindwa kwenda mkamata...Au hawa Summons..yaan mtu unaitwa Polisi kwa njia ya Tv na Magazeti je kama hii isingekuwepo si wangerud zama za kubandkana ukutani...WANTED
Inakuuwa ya kichamaa ila embu tujikumbushe wkt wa kampen wasanii walikuwa wanatembea na viongoz ina maana Mama Samia hakuwa anajua Wema anapiga Bangi au
Hivi clouds tv ndyo Televison ya Taifaa ambayo walipa kodi wakitanzania wanaiendesha au hii ishu ya makonda ni ya kibiashara zaid ili kuongeza Mapato na Utazamaji Clouds....Inakuwa je Majizzo mpka leo hasikiki??
Nw adays u cant tok shit kuhusu Serikal wkt Nchi kama Uingereza na USA viongoz wana bullshit kukosolewa ktk media tena na waandishi wa habar au ina maana Muandishi wa Habar wa Kenya au BBC akitoa comment khs Nchi ya tz Kuwa ya kidikteta je atafungwa [emoji52][emoji52][emoji52]
Ushawahi sikia Sikio Kumzidi Kichwa basi ndyo leo Hapa Kituo Cha Morocco...Dereva Amegoma Kuondoa Gari ya Mwendo kasi kwa Amri ya Mlinzi chanzo Abiria Kupanda Upande wa Kushukia Abiria mwsho wa Kituo...Ukizingatia walio panda upande huo ni Wazee na Wamama Wenye Watoto wadogo wanaoshndwa Minyana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.