[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] sio wote walio jf ni madogo...kuwa na heshima unabishana na mzazi wako ujue
Sent using Jamii Forums mobile app
dist111, Mkuu kwa kweli nimeshamuondoa kwenye list yangu sina mpango naye tena na kama akija kunitafuta nitamjib shit kama alivyonijibu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijui kama imeshawahi kukutokea kitu kama hichi.
Kuna demu nilitokea kumuelewa sana na katika harakati za kumtongoza akanisumbua sana maana aliniambia kuwa ana mtu wake lakini kama desturi ya wanaume kukubali majibu ya hivyo kwa mara ya kwanza huwa ni vigumu sana.
Hivyo niliendelea kumsumbua...
hahhahaaha.....kanji kumuacha labda betting site zote zifungwe iseee....zaidi ya hapo ni sawa na mvutaji bangi umwambie aache kuvuta bangi sidhan kama atakuelewa
Imagine umepata mpenzi wako mpya halafu anakuambia muende kupima Virusi vya Ukimwi ( VVU) na ikatokea kwa bahati mbaya utachukua hatua gani?
Wengi hapa huishia kukatisha mahusiano. Lakini je, hili ni jambo jema? Na kama sio vyema kwanini watu tuishi kwa stress kwa sababu ya hili janga la...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.