Recent content by sunv

  1. sunv

    Je, mtu anaweza kufungua kesi kwa kusingiziwa mtoto?

    Walikuwa wakitishishiwa kuuziwa hata nyumba wanayoishi kwani Baba wa binti alikua na ndg yake afisa usalama ambaye alikua akimjulisha kila kitu. Kutokana na hali iyo kuwepo familia ikawa na uoga thus why walilipa
  2. sunv

    Je, mtu anaweza kufungua kesi kwa kusingiziwa mtoto?

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
  3. sunv

    Je, mtu anaweza kufungua kesi kwa kusingiziwa mtoto?

    Kuna msala aliwahi kupata mtu wangu wa karibu alibainika kuwa amembebesha mimba mwanafunzi. Baada ya kutajwa alitimka na familia yake iliwajibishwa kulipa kiasi Cha TZS 7,400,000/= kama fidia. Mtoto alipozaliwa kijana aliamua kurejea na kuanza process za kupima DNA kwa sababu aliamini fika...
  4. sunv

    Naombeni mnisaidie jina la project

    Naandika project ambapo mapendekezo yake mojawapo ni kama hili, Promote HIV/AIDS prevention, include use of pre- Exposure prophylaxis and PEP. Je, niandike vipi?
  5. sunv

    Ni kwanini walimu wanadharaulika sana mitaani?

    Sema mtoa uzi umekwama mbona kuna walimu wana maisha mjini, mm nna anko wangu ana miaka10 kazini anamiliki lodge2 tena za viwango ana coaster 4 zinapiga kazi, alafu leo hii unawaponda walimu wana maisha duni. Fanya utafit b4 hujaja kuandika uzi
  6. sunv

    Kuanzisha shirika!

    Habari wakuu, Mimi ni kijana mwenye miaka 23, ndoto yangu kubwa baada ya kumaliza chuo ilikua ni kuanzisha shirika la kusaidia watoto wanaoishi katika mazingira magumu, pamoja na ufugaji wa kuku. Lakini changamoto yangu kubwa nina kiasi kidogo cha fedha, je itawezekanaje kulitimiza hili naombeni...
  7. sunv

    Mgogoro katika mahusiano yangu

    Yeah ndo umri wangu, Hapo kwenye mgogoro ulikuwepo Tena mkubwa maana niliwekwa mpaka blacklist kwa siku kadhaa
  8. sunv

    Mgogoro katika mahusiano yangu

    Habari wakuu, Nina mpenzi wangu ambaye nimekua nae kwenye mahusiano kwa muda mrefu sasa, hapo nyuma kidogo tulitofautiana kauli, na alichukizwa saana na maneno niliyomwambia, basi zimepita kama siku mbili nikamuomba appointment lengo tuweke mambo sawa. Tulikutana akaniambia kwa sasa...
  9. sunv

    Natafuta mchumba

    Wa kiume
  10. sunv

    Natafuta mchumba

    Kama inavyojieleza Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 28, natafuta mchumba mwenye umri kuanzia miaka 22 mpaka 25. Awe mwaminifu nimechoka kuumizwa.
  11. sunv

    Nina wakati mgumu katika mahusiano yangu, naomba ushauri!

    Wote tunaishi mkoa mmoja, ila tunasoma mikoa tofaut
Back
Top Bottom