ujinga ni pale unaposomba watu na fusso.na usafiri mwingine halafu uwaambie watu mafuriko.mafuriko ni ya watu kujaa wenyewe na sio kusombwa na kuwapa posho
anapigwa chini.jana kulikuwa na ufunguzi wa kampeni za ccm bunda mjini.ccm walikuwa wanafungua kampeni stendi ya mabasi ya zamani kwa wale wanaoijua bunda.sasa kumbe kule kwenye uwanja wa sabasaba kulikuwa na show za wasanii kina Senga.H baba.na msanii flani hivi maarufu wa nyimbo za asili huku...
we hata ungesema kitu gani huwezi kutubadilosha huo wimbo wenu wa ukabila tumeshauzoea mimi ni msukuma yaani hata ukawa wangeweka jiwe kura yng siwezi kuwapa ma ccm
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.