Nkundwe Sr
JF-Expert Member
- Nov 30, 2014
- 6,096
- 9,175
UKAWA FEKI INATAKA IKULU IMEJAA WEZI NA MAFISADI (Mpolepole)
Zamani nilisema wezi na majizi wanaoutaka Urais kupitia CCM wakatwe, na nikaendelea kusema wasingekatwa ningepiga kampeni CCM isichaguliwe, Wakati huo UKAWA-FEKI walikuwa wakichekelea chekelea. CCM ikafanya maamuzi ya kiume, Majizi na hasa kubwa lao wakakatwa. Hongera CCM.
Leo baada ya majizi kukatwa na kuelekea sehemu fulani kwa ndugu zangu, unatarajia nichekelee? Nitaendelea kusema wakatwe na kwasababu ndugu zangu wamehadaika na tamaa zao za madaraka (na fedha nono nono za kifisadi) na sio Mageuzi, na wao Nimewakataa.
Na nitaendelea kusema hii ni UKAWA-FEKI, sio ile ya Katiba, hawa ni wajanja wajanja, wanadhani ikulu wanakaa wajanja wajanja.
Nimewakataa
Sasa tofauti ya sasa na zamani na nikitizama misimamo yangu ni ipi? Mbona wewe ulisema Lowassa ana hela chafu anapelekea viongozi wenye njaa katika Makanisa? Au ni halali pesa chafu kuja kwako na kwa wenzio ndugu yangu?
Tofauti kubwa kwakweli ni kiwango cha juu cha matusi kutoka UKAWA-FEKI ndio kilichoongezeka. Ila kwa MITUSI MIKUBWA nyie NOMA.
by
Humphrey Polepole
Zamani nilisema wezi na majizi wanaoutaka Urais kupitia CCM wakatwe, na nikaendelea kusema wasingekatwa ningepiga kampeni CCM isichaguliwe, Wakati huo UKAWA-FEKI walikuwa wakichekelea chekelea. CCM ikafanya maamuzi ya kiume, Majizi na hasa kubwa lao wakakatwa. Hongera CCM.
Leo baada ya majizi kukatwa na kuelekea sehemu fulani kwa ndugu zangu, unatarajia nichekelee? Nitaendelea kusema wakatwe na kwasababu ndugu zangu wamehadaika na tamaa zao za madaraka (na fedha nono nono za kifisadi) na sio Mageuzi, na wao Nimewakataa.
Na nitaendelea kusema hii ni UKAWA-FEKI, sio ile ya Katiba, hawa ni wajanja wajanja, wanadhani ikulu wanakaa wajanja wajanja.
Nimewakataa
Sasa tofauti ya sasa na zamani na nikitizama misimamo yangu ni ipi? Mbona wewe ulisema Lowassa ana hela chafu anapelekea viongozi wenye njaa katika Makanisa? Au ni halali pesa chafu kuja kwako na kwa wenzio ndugu yangu?
Tofauti kubwa kwakweli ni kiwango cha juu cha matusi kutoka UKAWA-FEKI ndio kilichoongezeka. Ila kwa MITUSI MIKUBWA nyie NOMA.
by
Humphrey Polepole