Recent content by Sunguti

  1. S

    Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Baby - prof J feat Mkoloni (ilikuwa kwene album ya JOSEPH nadhani) side B
  2. S

    Jasusi Honda ndani ya mpango wa Congo

    Ni kastory kazuri, sasa bwana honda anakufaje mapema hivi Sent using Jamii Forums mobile app
  3. S

    Dawa ya kutibu taifodi & u.t.i

    Mzizi mkavu, si kweli kwamba UTI na Malaria zimekuwa chronic na hazitibiki hospitali. Magonjwa haya yana dawa zake na yanatibika kama mgonjwa akifanyiwa uangalizi na kutumia dawa stahiki kwa mujibu wa miongozo ya afya.
  4. S

    Napata hedhi mara mbili kwa mwezi mmoja, je inaweza kusababisha mayai yaishe?

    Habari, Pole kwa wasiwasi ulionao juu ya mzunguuko wako wa hedhi. Kwa kawaida mzunguuko uliozoeleka zaidi (ambao wanawake wengi wanao) ni wa siku 28. Lakini bado kuna mizunguko ya siku 20, 36 na 54 ambayo ni nadra. Kwanza unapaswa kuangalia kama kuingia mara mbili kwa mwezi (yaani mzunguko wa...
  5. S

    Sitta: Wabunge viti maalumu hawana umuhimu wowote

    kasome katiba ya sasa, inawataja hao jamaa. Na aliapa kuilinda na kuitetea katiba. Acngeweza wafuta hao jamaa
  6. S

    Hotuba ya Rais Kikwete Mwisho wa Mwezi Julai: Amjibu Kagame!

    "Nilisisitiza utayari wa nchi yetu kulinda mipaka yake na kwamba mfano wa mashujaa waliolala pale ni fundisho kwa mtu ye yote anayetamani kumega kipande cho chote cha ardhi ya nchi yetu. Atakiona cha mtema kuni kilichomkuta Nduli Iddi Amini au hata zaidi." Malawi mjiangalie, rais wangu kasema
  7. S

    Jengo la CCM Mtwara lateketezwa kwa moto

    guys tunawapa heko wanamtwara kwa sababu hakuna mama, baba, kaka au dada yako anaekufa au kulala nje kule. wAla hauna mtoto ambae atabaki na kumbukumbu za watu wakiuawa, hebu tusali amani irudi tena tanzania. Tupigane kwa kalamu kwenye chumba cha kupgia kura 2015
  8. S

    Siri za kifo cha Kamanda Barlow zavuja, kamanda wa Polisi Muna atajwa! Taarifa zamfikia Pinda

    nadhani imeandikwa nauli na sh 10,000/= ya kula njiani
Back
Top Bottom