Sawa mm nimetumwa ila kawaambie waliokutuma wakufindishe cha kuandika sio ichi cha kuwaandikia wapiga push -up wenzio wa lumumba kuuaminisha umma wa watanzania walio na wasio na vyama
Mpeleke mkeo ukweli upi eti walifanya kwa siri we ungejulia wapi acha propaganda za kijinga walinunua mpaka magari ya kivita kudhibiti rai wasidai ushindi wao leo unatuambia eti ilionekana bara ni ngumu tena nenda upgrade icho kichwa ndio uje kuongea izo adithi za halfu ulela ulela
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.