Recent content by Sumfi

  1. S

    Wamjua kiongozi aliyeliliwa na jamii baada ya kuiletea maendeleo?

    Wanamlilia kwa kufanya maisha yao magumu
  2. S

    Kwenye mambo yanayohusu maslahi ya Wanyonge ni ngumu Sana kuwasikia Wapinzani

    Mbona unawasakama wapinzani kwani hujui kua bunge in LA ccm walaumu ccm ndo walotunga sheria kandamizi upinzani uliuwawa na watu walisema mathara take ndo haya
  3. S

    Enzi za Magufuli watu walijenga nyumba, sasa hivi watu wananunua vyakula

    We we muongo utadhani mdogowake shetani hivi watu walifungiwa akaunti zao na biashara zao mzunguko wa hela ulikua mdogo mno huko kujenga namna gain bwana wewe
  4. S

    Karibu sana Mwenyekiti wetu wa Kudumu na wa Milele Freeman Mbowe wa CHADEMA...tunakupenda!

    Kwani amekamata vipumulio vyako vyote unashindwa kupumua akiwa mwenyekiti? Naona unapata tabu sana
  5. S

    Rais Samia, bado RC Chalamila na RC Hapi

    Hivi unayasema hata iko mbeya kweli ungekua mbeya au unagari binafsi ungejua ni namna gani bajiji watovu wa nidhamu wanaovatake kushoto hawajali mataa wala vivuko hawana leseni wao akiwaza Kugeuza anageuza popote bilakufikiri
  6. S

    Mbeya: Raia wa China akamatwa kwa kuwacharaza viboko Madereva wawili kwa kula hela za mchezo wa kubahatisha

    Anakushikia cha moto na unaamriwa kulala chini upigwe sasa utachagua cha moto udanji au viboko uendelee na mishe zakondo ndo utajua ubwege ulikolala
  7. S

    CCM - baada ya kifo, maombolezo na mazishi ya Hayati Dkt John Pombe Magufuli - tutawakabili CHADEMA, ACT, NCCR, CUF - Ofisi zao watafugia kuku

    Umwombe na mungu uwe mzima mana hakuna aijuae kesho yake na kwa chuki hizo sijui kama mungu anapendezwa nazo mtangulizi wako alikua na mengi ya kuwafanyia wapinzani huko wapialiwaahidi watu vitu vingi kumbuka mwandamu anapangu mungu anakamilisha hesabu
  8. S

    Hayati Magufuli kafanya nini cha ZIADA? Ame-underperform. Kafanya miradi Mitatu tu, kakamilisha Mmoja wa ndege basi

    Heee huoni aibu kuandika eti haki ilikuwepo kahakamani jamani shetani wakati mwigine anasema on a hawa wanadamu wamenizidi Mimi uongo kaa watuwamenyanywaswa mahakamani jamani kwakweli jambo usilojua litabaki kuwa usiku wa Giza kwanza kwa utawala wa marehemu kama hukupatwa huwezi jua machungu
  9. S

    Majaliwa, Mwigulu; mkubwa akikosea huchutama, haikunyang'anyi ufalme wako!

    Hawa watu wasamehewe tuu ujue mtangulizi wao marehemu alikua anapendaga mambo kama haya ya uongo na kusifia kitu kisicho sahihi ndo mama wamefichaweee wakasahau msemo usemao mficha maradhi kifo humuumbua japo wangesema pengine angeombewa mauti ingeondoka sasa hatuna LA kufanya
  10. S

    Mama Samia Suluhu: Rais anawasalimia, anasema tuchape kazi tulete tija kwa Taifa letu

    Ujue tulizoea show za makamela kila sehemu akienda hata akiwa nyumbani kwao anaapishia na kuteua makamela yanaonyesha akienda kusali kamela akipita njiani kamela live sasa hii ndo inatupa maswali mbona kimyaaaa huko wapi?
  11. S

    Mambo mbalimbali yaliyokoma kwenye utawala wa Rais Magufuli

    Laiti kama tungekua tunapanga mstari kuonyesha wanaomkubali huyu baba yako nakwambia hata familia ingemkana hakunansecta iliyoachwa salama ni vitisho tu hata askari analia njaa wakati huko mstari wa mbele kupiga wapinzani
  12. S

    Mama Samia Suluhu: Rais anawasalimia, anasema tuchape kazi tulete tija kwa Taifa letu

    Mi nasema kila jambo huwa na mwanzo pia lazima mwisho uwepo pia kama mwanadamu anazaliwa na mwisho anakufa hakuna atakaye ishi milele hivyo hata lifichwe lisifichwe bado tutajua ukweli ni UPI muda tuu ndio unachelewa
  13. S

    Je, Mtanzania, una imani Bunge linaloendelea Dodoma?

    Kwanza ukitaka kua na amani nchi hii achana na kufuatilia habari za nchi hii mana ukifuatilia unapanda hasira mno ishi kama mkimbizi potezea taarifa ya habari,potezea haya mambo ya kucheki bunge Fanya yako mtakutana kwenye Kodi kwasababu ni mkimbizi unalipa kiroho safi
  14. S

    Je, Mtanzania, una imani Bunge linaloendelea Dodoma?

    Achana na viini macho hivyo kama wale maprofesa waliokua wanakuja shuleni wameweka panga kichwani limekata nusu kichwa anaonekana anatiririka damu achaweee
Back
Top Bottom