Biogas Kama biogas , Ina gase 3 , ammonia, Hydrogen sulphide na carbon dioxide.
Kinachofanyika, hizo gase zipo zinatokana na mbole yaani organic material ambayo ndiyo law materials ya Biogas. Unapoweka material kwenye mtambo wa BIOGAS unachanganya na maji, yaani HAYO materials Yana undergo...