Lands mjue nyie ccm siyo wananchi wote wanaofurahishwana rundo la mafisadi tena wawazi kabisa mlio endelea kuwakumbatia bora uyo lowasa nifisadi peke yake ukawa hatatushinda kutimiza ya katiba yetu je nyie ikiwa kikwete alishindwa kukemea maovu ya serekali take na watu kugandamizwa je fisadi...
Wewe unae sema lowasa yupo kwenye mkumbo Wa escrow unaushahidi utuonyeshe hapa ama ushabiki mandazi tuu fungukeni msome Alana za nyakati wandugu uyo silaa alikuwa wapi sikuzote asiseme aliyosema na uyo lowasa kama ana ushahidi au serekali ya kikwete wanangoja mini kumfunga watanzania ebu...
Porojo mbao tuu we Nova na wewe hao Lila siku mnawakamata mbona hatuoni wakipelekwa mahakamani pia hizo pesa mbona hamsemagi zinapelekwa wapi baada ya jeshi.lako kandamizaji wakizishika kama stakishari Yale mapesa mlio yakamata ya wale majambazi Wa stakishari yako wapi kama na wewe nawenzio sio...
Mmmmh hii noma haya na lowassa wetu mkome kumuita kaiba reach mound mana Hanna ushahidi Wa escrow wapo huru Wa epa wapo guru Wa reach mound na wenyewe wapo apo anatajagwa lowasa tuu hao wengine vipi ccm mmekwisha kinge nyie
We musa wewe watu tupo natunashuhudia mabomu hapa kwanza yalianxa kwa watoto hakuna anae tunga hapa unabahati sheria ya mtandao imeanza lasivyo ningekupa Mona la kulalia
MTU mmoja alisema mtanzania ni masikini hadi akili zake zimejaa umasikini anamanisha tuna umasikini Wa akili Nina muunga mkono nyie mnao tetea ccm na nyie mlio kuwa chadema now hampigi kura kisa lowasa yupo ukawa akili zenu nimasikini kama ilivyo hali ya nchi hebu someni Alana za nyakati pia...
Mim nazani tuangalie maslai maxima ya taifa letu first kabla ya kunyoshea chadema mkono ama kumnyoshea lowasa mkono Tanzania kwanza tunaitaji kubadilisha mfumo wa unyonyaji wa rasilimali za taifa ebu ifike mahala watanzania tufunguke akili zetu tuongee kama watu wazima nasio ushabiki usiokuwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.