Upo sahihi kabisa, haswa hizi abaya za dada zetu, ila mimi nipo uturuki mwaka wa 5 sasa bidhaa zao ni nzuri ukiachana na hizo ambazo ziko branded ila hazijatoka moja kwa moja kutoka uturuki
Habari,
Nchi ya uturuki imekuwa miongoni mwa nchi ambazo Watanzania wengi wamejivunia utajiri kutokana na kuagiza bidhaa mbalimbali kupeleka Tanzania.
Katika kipindi cha miaka ya Karibuni miongoni mwa bidhaa zinazoongoza kuchukuliwa kutoka uturuki ni bidhaa za umeme vyenye thamani ya shilingi...
shida sio mfumo wa elimu moja kwa moja mfano mzuri ni generation za kwanza kwanza za waarabu na wahindi walioenda ughaibuni nchi kama marekani walifungua maduka leo hii ni moja ya watu wanaoajiri sana, bongo shida kubwa ni hatufikirii kihivyo kufikiri sio lazima shule tunataka majibu mepesi kwa...
ni kweli wa tanzania tuna safari ndefu ila wanao hoji kuwa huo uzi ni wa mambele wapo sahihi sasa hivi nje especially marekani kumeibuka wimbi la vijana wanaotaka pesa za haraka ili kustaafu mapema linaitwa FIRE watu wengi kutokana na hili wimbi wameona fursa ya kufundisha course uchwara either...
Utajisumbua tu tuna kampuni ya ujenzi na hatujasoma hata mmoja engineering japo ni vizuri kusomea engineering ila ukipata mfanyakazi engineer na kama una muda wa kukaa saiti kumonitor kinachofanyika
kuna nchi kama ufaransa na sweden hata marekani kuna kitu kinaitwa Islamophobia mbona watu wanachoma Quran na wanalindwa vizuri tu. Jamii nyingi za west zilikua hazipokei wa Islam kutokana na propaganda tu.
Ila asilimia kubwa ya watu wakawaida jirani tunaoishi nao mbona wapo freshi
Sikatai...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.