Recent content by suley702

  1. S

    Ushawahi kujichanganya kimapenzi mpaka ukawa unawaza hapo nyuma ulikosea wapi?

    ww mjinga umeandika mule mule yani kumbe tumbo wengi duniani bora nimepata mwenzangu
  2. S

    Sio kwa ubaya lakini wenzetu waislamu mnakera na adhana ya asubuhi

    zinatukwaza sana sema tunaheshimu iman ya mtu tunakaa kimya
  3. S

    Sio kwa ubaya lakini wenzetu waislamu mnakera na adhana ya asubuhi

    ukiishi nyumba yenye vioo wala uwezi sikia haya mambo shida ipo kwetu wazee wa nyavuuuuuuuuuu
  4. S

    Sio kwa ubaya lakini wenzetu waislamu mnakera na adhana ya asubuhi

    vipi kuhusu yale makanisa asubuh na mapema wanaomba na kuabudu kuanzia saa 11 had saa 12 asubuh
  5. S

    Chachu yangu ni kupata nafasi ya kudumu sekta ya afya ili niendelee kutoa huduma kwa wagonjwa

    shukrani kwa maombi yako pia huwa naomba mara kwa mara na kwenda kufanya usaili mahala pengine
  6. S

    Chachu yangu ni kupata nafasi ya kudumu sekta ya afya ili niendelee kutoa huduma kwa wagonjwa

    ukiona hadi nipo hapa basi jua kila njia imekuwa ngumu
  7. S

    Chachu yangu ni kupata nafasi ya kudumu sekta ya afya ili niendelee kutoa huduma kwa wagonjwa

    ishu ni kwamba mfumo si rafiki yan kwa hapa hadi nimetumia njia hii aisee nishaona hapa hakuna kitu
  8. S

    Chachu yangu ni kupata nafasi ya kudumu sekta ya afya ili niendelee kutoa huduma kwa wagonjwa

    now connection ndio kila kitu ndugu tumeludi kule kule
  9. S

    Chachu yangu ni kupata nafasi ya kudumu sekta ya afya ili niendelee kutoa huduma kwa wagonjwa

    Sijawahi kusikia yoyote aliyepata kwa njia hii but maisha ni kujaribu aisee bila kukata tamaaa, naomba unitumie hiyo info tafadhali.
  10. S

    Chachu yangu ni kupata nafasi ya kudumu sekta ya afya ili niendelee kutoa huduma kwa wagonjwa

    Mimi ni kijana ninayejitolea katika moja ya hospital hapa nchini katika kitengo cha mapokezi kwa miaka zaidi ya sita napenda hii kazi ya kuhudumia wagonjwa, changamoto yangu sina uhakika wa ajira kwa hapa nilipo kwa yoyote mwenye mawasiliano hata email ya waziri wa afya tafadhali anisaidie...
  11. S

    Kamati ya Bunge: Bwawa la Nyerere litakamilika Juni 2024, Tsh. Trilioni 5.85 zimelipwa tayari

    kila siku jambo jipya haya kuku wanaleta siasa katika maisha ya watu
  12. S

    Kutumia condom ambayo ilikuwa expired mwezi huohuo, unaweza ambukizwa?

    hizi ni zile condom za msaada ndio nyingi zimekwisha muda wake december
Back
Top Bottom