Recent content by suletuchape

  1. suletuchape

    Magufuli hatambuliki E.A.C?

    Acha kufikilia v2 ambavyo havina faida.,mbona kapongezwa na watu wengi tuu..! Au unafikil nn kichwan mwako..?
  2. suletuchape

    CHADEMA watua ICJ, kupeleka mashitaka ya uchaguzi Mkuu

    Kwan mnafikili na wao ni wapumbavu..?? Hawatumii viroba.
  3. suletuchape

    Mataifa yametushangaa sana watanzania kwa upofu wa akili

    Cha bure ni uhai uliopewa na mwenyezimungu basi., uckae ukategemea cha bure kutoka kwa binadam mwenzako hayo ni mawazo finyu na inaonyesha ni jinsi gan ulivo mvivu kufikiri., mwenyew kaulizwa na bi. Zuhura wa BBC akashindwa kuelezea alafu bado tu unataka bure...
  4. suletuchape

    GE2015 Tamko la Edward Lowassa Baada ya NEC Kumtangaza Dr Magufuli Kuwa Mshindi wa Kiti cha Urais

    Ni kweli mm binafsi ninauzuni maana nikifikilia gharama alizozitumia yule mzee ni hatari yaan kala hasara ambayo hajawah kupata toka kazaliwa inauma sana...!
  5. suletuchape

    Nauliza ni kwanini mpaka leo vyuo vikuu Afrika Kusini hawasomi bure?

    Hatuitaj elimu ya bure tunahtaji elimu bora., unapotaka kufany kitu kipya lazma uangalie kam kuna mtu kawah kufany (reference).,ivi unajua shule na vyuo ni jinsi gan vnajiendesha..? Ukipata jbu tafakar
  6. suletuchape

    Serikali: Ukitaka kukaa mita 200, uwe na kibali

    Hapana inatosh tumekuelew..! Hapo ni kurud nyumbani tyuuu..!
  7. suletuchape

    Mgombea Urais kupitia CHADEMA na UKAWA, Lowassa ndani ya BBC Swahili - Oktoba 21, 2015

    Kiukweli jamaa hana sifa za uongoz ni hatari sn mtu kama yule kumpa madaraka ya aina yoyote yale.
Back
Top Bottom