Nasisitiza unless unatengeneza trap uwaibie watu hizo 20k zao. Kama unaielewa kazi yako unapaswa kujua mahitaji ya kazi ya mteja wako kwanza, then kutathimini majukumu yako katika kufanikisha hitaji/mahitaji hayo. Ukifanya hivyo ndio utajua bei halisi ya kazi yako, na siku zote hazifanani...
Kuandaa business plan kunahitaji mambo kadhaa ikiwepo kufanya feasibility study ya soko, ushindani pamoja na gharama halisi za mf mashine n.k ili uweze kukadilia gharama za mradi kikamilifu.
Unless mleta mada unataka uwafanyie copy and paste of which hiyo haitakuwa BP bali ni uchafu fulani tu...
Relax kaka, hiyo ni Bawasili, mm ilinipata na imepotea yenyewe. Nilisoma articles kadhaa kuhusu hiyo nikagundua sio hatari kivile, nikarelax ikaisha yenyewe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.