Ni hatari sanaa ni mateso basi wangekuwa wanawapeleka hata shule za karibu na wanapo ishi sasa sio kwa mateso ya elimu hiyo sie tumesoma hapa dar mpaka vyuo vikuu ila sasa naona kama ukatili kwenye vituo vya daladala umezidi juu ya wanafunzi
Kuna changamoto jana nilikutana nayo wakuu ya wanafunzi wasichana kama watano walinifata kituoni kuomba simu kuwapigia wazazi wao wawatumie nauli hata elfu mbili watoe wapande bajaji waende nyumbani ilikuwa mida ya saa mbili kasoro hivi maeneo ya relini na walikuwa wanaelekea Gongo la Mboto.
Na...
Wakuu nimekuja kwenu, ofisi za TRA Temeke zina fikirisha sanaa katika uwajibikaji wao
Nili-register TRA TIN Number mwaka 2020 branch ya Mbagala sasa nataka nihamishe ile TIN number location isome Ilala hapo ndo kimbembe aisee
Hawa jamaa nimefanya process zotee online barua nimeandika na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.