salaam wakuu, naomba wakuu mwenye uzoefu na biashara ya vyuma chakavu anieleweshe jinsi ya kupata vibali kimoja baada ya kingine na leseni pamoja na bei zake kwa mfanyabiashara mdogo tu mwenye fremu na mtaji wa laki5 ambaye hasafirishi nje ya mkoa
Salaam wakuu,
Naomba wakuu mwenye uzoefu na biashara ya vyuma chakavu anieleweshe jinsi ya kupata vibali kimoja baada ya kingine na leseni pamoja na bei zake.
Kwa mfanyabiashara mdogo tu mwenye fremu na mtaji wa laki5 ambaye hasafirishi nje ya mkoa
Naitwa Hussein Masoud,ni clinical assistant (CA),nipo Mwanza mjini katika chuo cha afya na sayansi shirikishi BWIMA kilichokua kikitambulika kama victoria zamani, kwa sasa nimebakisha mwezi mmoja nifanye mitihani yangu ya kuhitimu diploma in clinical medicine level 6 itakayo fanyika February...
"E="Old - Hand, post: 32775845, member: 427535"]
Kwa mwezi M1 ni sawa na umesema kwa mwezi ni milioni moja...
Uwe unazingatia huandishi usiokuwa na contradiction yeyote...
Katika mambo ya msingi kama haya
"kweli mkuu shukrani
mm ni kjana Wa miaka23 nimemaliza kitado cha sita na sasa nasoma utabibu chuo kimoja hapa mwanza, Nina ujuzi na computer applications japo sina uzoefu Wa stationary, ninahitaji kazi au kibarua chochote iwe ni ya kimahesabu Niko vizur,au stationary,ya kutumia nguvu iwe kubeba mizigo, shambani...
Ivi wakuu unaweza kujisajili kama private candidate kwa combination ya ECA hata kama hukusoma Commerce na bookkeeping o'level au nijisajili tu EGM?
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.