Naona siasa za upinzani zinakufa kwa kuongozwa na kanisa LA gwajima sioni anachokitetea upinzani na nguvu ya gwajima kama sauti yao ya pili hawana jipya
Hatua zichukuriwe kwa kila menye kukosea tukitazama watu usoni nishida alijiita mungu wa mkowa huu sasa hukhum ya uungu feki pia itamtafuna nadhani kulewa madalaka au ushauri mzuri Hana na anahitaji muda wa kupunzishwa kwasababu atakufa kwa kiholo
huyo haneni ya mungu ndio maana anapendezwa na sifa siku zote kutojiamini na anaowaongoza hawana mawazo na mafunuo ya akili kwa upana zaidi wangejiepuka na huyu mtu alishawahi kudanganya amemfufua amini chifupa na walishangilia
Sent from my SM-A500FU using JamiiForums mobile app
kiukweli huyo gwajima amehifadhi chuki na itakuwa inamuumiza sana maana ata ugum wa madawa kama kiongozi wa waliokufa na kufukuliwa akili kiukweli ilitakiwa kusapoti na si kulipa visasi vya udhalilishaji naona aisaidii kitu maana kwa utendaji wa mkuu wa mkoa ni kuteuliwa na aupeleki vyet vya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.