Hivi mbona sioni sera yoyote kwa upande wa Mbowe? Ninachokisikia ni "Kakitoa chama mbali", mara ana busara na blah blah nyingine. Leteni sera tupime nani anafaa kuongoza chama.
Uchaguzi ukiwa huru, Mbowe hashindi. Walio wengi ndani na nje ya CHADEMA wanamtaka Lissu. Nadhani hata yeye Mbowe anaingia mitandaoni na anajionea hali halisi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.