Recent content by successor

  1. successor

    PreGE2025 PICHA: Mbowe, Lissu walivyokutana uso kwa uso kwenye Kikao cha Kamati Kuu Chadema

    Yes! That is democracy. Washindane kwa hoja bila kujengeana chuki. Lengo ni kujenga chama.
  2. successor

    Ufahamu wa juu wa mambo ya kimataifa ( worldly view) sifa nyingine ambayo Lissu anamzidi Mbowe

    Hakika umenena vema. Hata mzee Mbowe mwenyewe analitambua hili.
  3. successor

    Hizi hapa sera zinambeba TUNDU LISSU kuchaguliwa uenyekiti chadema

    Hivi mbona sioni sera yoyote kwa upande wa Mbowe? Ninachokisikia ni "Kakitoa chama mbali", mara ana busara na blah blah nyingine. Leteni sera tupime nani anafaa kuongoza chama.
  4. successor

    Wakili Peter Madeleke: Tundu Lissu ni Simba Mkali

    Uchaguzi ukiwa huru, Mbowe hashindi. Walio wengi ndani na nje ya CHADEMA wanamtaka Lissu. Nadhani hata yeye Mbowe anaingia mitandaoni na anajionea hali halisi.
  5. successor

    Barua ya wazi kwa Lissu juu ya yanayoendelea ndani ya CHADEMA

    Unawaza kushindwa tu, stupid! Watu kama nyie ni tatizo. Unakua kama mganga wa kienyeji. Subiri uchaguzi upite. Lissu sio mjinga.
  6. successor

    Royal Tour ndo ishasahaulika?

    Hahahaaa daaah
  7. successor

    Rais Samia kutembelea Kenya kwa ziara ya siku mbili

    Anafukia mashimo ya nduli Magufuli.
  8. successor

    Je, kweli Lissu ana wivu na Magufuli?

    Shetani lazima atajwe na akemewe
Back
Top Bottom