hapana kwa yule anaesema nyeto sio dhambi amekosea na imamu shafi rahmatu allah amestadili na aya ya allah iliopo ktk suratl maarij yoyote mwenye kutoa matamanio yake kwa asiekua mke na kijakazi wake{ni mwanamke aliempata ktk vita ni halali kwako } na kinyume cha hawa bas itakua anafanya uadui
Kijana pole sana na wala usijione uko peke yako 2po wengi twajificha 2 ila kwa ufupi penda ku2mia sana asali na tangawizi changanya asali tangawizi na mdalasini then kutwa mara 3 kijiko kimoja kaka utanipa jibu baada ya wiki tu na nyengne kwa msaada nenda ktk busha ukanunue makende ya beberu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.